
Uwezi amini juzi kati wanyamwezi tulialikwa kwenye B,DAY ya mwanadada mmoja ambae ana wakubali sana wanyamwezi wa apa town.ndio ivyo kama unavyotuona.uyu wa kwanza ni DJ.NAS,alafu anafwatia ISIAKA MC,uyu mwingine ni mtumzima TOJO a.k.a TJ
...mwanzo mwisho...
No comments:
Post a Comment