
Yeah....Mambo vipi? OK napenda kuchukua fulsa hii na muda huu kuwaomba ladh kwa kutowapatia habari kwa muda mrefu kidogo.nafikili majukumu yamekua mengi sana hasa ya kifamilia zaidi ndio mana nikawa nashindwa hata kutembelea uwanja wetu huu wa wa habari.OK kwsasa nimerudi tena kama kawa wazeiyaaaaaaaaaaaaa.its me ISIAKA,MC.............